Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Kibu Dennis, Tunawaheshimu Nigeria Hatuwaogopi

''Tunawaheshimu sana Nigeria lakini Hatuwaogopi.
Tunaamini kuwa Mungu atatusaidia kwa uzoefu tulionao na ukubwa wa wachezaji wetu''

Dennis Kibu Mchezaji wa Taifa Stars aliyasema hayo Timu hiyo ya Tanzania ilipofanya mazoezi yake ya mwisho kabla ya kuchuana dhidi ya Super Eagles ya Nigeria katika mechi yao ya kwanza katika mchuano wa fainali za AFCON 2025 huko Morocco.

 

Chanzo; Bbc

Kuhusiana na mada hii: