Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Yanga Kumpata Kocha Ndani ya Siku Tatu “Cv Zimetumwa Nyingi”

Meneja wa habari na mawasiliano wa Yanga Ally Kamwe amesema klabu hiyo inaendelea na mchakato wa kumpata kocha mpya wa kikosi hiko na mchakato huo unatarajiwa kukamilika ndani ya siku tatu zijazo

“Mechi ya Jumamosi dhidi ya Silver Strikers utasimamiwa na kaimu kocha mkuu Patrick Mabedi, CV zimetumwa nyingi sana mchakato unaoendelea hivi sasa ni kupata kilicho bora zaidi ” Ally Kamwe

 

Chanzo: Eatv

Kuhusiana na mada hii: