Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Pedro Achapa Rekodi Kama Diego Costa Chelsea

Mshambuliaji wa Chelsea FC, João Pedro ameweka rekodi ya takwimu bora zaidi kwa mchezaji wa klabu hiyo tangu kipindi cha Diego Costa.

João Pedro amehusika moja kwa moja katika upatikanaji wa mabao 26 kwenye mashindano yote baada ya kufunga mabao 17 na kutoa asisti 9 akikaribia kuvunja rekodi iliyowekwa na Diego Costa.

Liam Rosenior 
“Uwezo wa João unatisha, Ni mpiganaji ana akili ya ushindi, ubora na mabao."

"Ninampenda João,”

Uhamisho wa João Pedro umeonekana kuwa na athari kubwa kwa Chelsea na mashabiki wakianza kuamini anaweza kuwa mshambuliaji muhimu wa klabu hiyo katika miaka ijayo.

 

 

Chanzo; Bongo 5

Kuhusiana na mada hii: