Gwiji wa muziki wa Congo Fally Ipupa ametunukiwa tuzo ya heshima ya juu zaidi ya taifa la DR Congo
Tuzo hiyo inatambua mchango wake mkubwa katika kuiweka Rumba ya Congo kwenye jukwaa la kimataifa, hasa kupitia matamasha yake ya kihistoria katika uwanja maarufu wa Stade de France mwezi Mei 2026.
Sherehe rasmi ya kumvika heshima hiyo itafanyika Kinshasa Juni 6.
Mwanamuziki gani kutoka nchini kwako unadhani anastahili kupewa tuzo ya heshima na serikali?