Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Emman Mwanamitandao Maarufu Ajiua

Emman Atienza, mtiktoker maarufu anayejulikana kwa video zake za mtindo wa maisha kwenye mtandanoni humo aaga dunia nyumbani kwake huko Los Angeles Oktoba 23,2025, ajiua.

Kwa mujibu wa ripoti za TMZ, zinasema
Kulingana na Mkaguzi wa Matibabu wa Los Angeles, yasema sababu ya kifo cha mwanatiktok huyo kuwa alijiua.

Baba wa Emman,ambaye pia ni  mtangazaji wa TV wa Ufilipino, na mama, mjasiriamali na gwiji wa siha, walitangaza msiba huo wa kusikitisha Ijumaa asubuhi huku wakinuenzi marehemu binti yao.

Kwa mujibu wa  chapisho la Instagram, familia iliandika "Alileta furaha nyingi, kicheko, na upendo katika maisha yetu na katika maisha ya kila mtu aliyemjua.”

“Emman alikuwa na njia ya kuwafanya watu wajisikie kuonekana na kusikika, na hakuogopa kushiriki safari yake mwenyewe na afya ya akili. Uhalisi wake uliwasaidia wengi kujisikia chini ya upweke." 

Emman ana zaidi ya wafuasi 800,000 kwenye TikTok na 225,000 Instagram. Video zake za hivi punde zaidi zinahusu upataji wake wa makazi jijini Los Angeles, ambapo alihamia msimu wa joto uliopita.

Chanzo: Tanzania Journal

Kuhusiana na mada hii: