Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Makonda Adai Kikundi Kilichomtukana Maghufuli Ndio Kinachomtukana Samia

Mgombea wa Ubunge Jimbo la Arusha Mjini Poul Makonda amesema kuwa kikundi kilichokuwa kinamtukana Rais wa Jamhuri ya Muungano ya Tanzania wa awamu ya Tano Hayati Dkt. John Pombe Maguli wakati anapambania uhai wake ndio hao hao wanaomtukana Mgombea wa Urais Kwa Tiketi ya CCM Dkt. Samia Suluhu Hassan

Makonda ameyasema hayo Leo Oct 8,2025 Katika uwanja wa Nyamagana Mkoani Mwanza kwenye mwendelezo wa Mikutano ya Kampeni za uchaguzi Mkuu ya Dkt Samia Suluhu Hassan

Aidha Makonda amewaomba Watanzania kumlinda Dkt. Samia dhidi ya kikundi hicho ambacho kinamtukana Mgombea huyo.

 

Chanzo: Wasafi

Kuhusiana na mada hii: