Search

Saved articles

You have not yet added any article to your bookmarks!

Browse articles

GDPR Compliance

We use cookies to ensure you get the best experience on our website. By continuing to use our site, you accept our use of cookies, Privacy Policy, and Terms of Service.

Watumia Milioni 67.9 kwa Chakula, Vinywaji na Kulipa kwa Bahati Nasibu

Mgahawa mmoja huko Dubai ulihudumia meza iliyotumia AED 87,999 sawa na Milioni 59.7 za Kitanzania kwa chakula na vinywaji na wakaongeza bakshishi (tip) kubwa ya AED 12,000 sana wa Milioni 8 na kufanya jumla kufikia karibu AED 100,000.

 Ankara hiyo ilisambaa sana mtandaoni baada ya kundi hilo kubadili malipo kuwa tukio la kufurahisha lenye hatari kubwa, wakichagua kadi moja kwa bahati nasibu ili ilipe gharama yote Dubai tu

 

 

Chanzo; Bongo 5

 

 

Kuhusiana na mada hii: